Mti Na Huduma Yako
2.5/5
()
About this ebook
Dag Heward-Mills ni mwandishi wa vitabu vingi, ikiwemo kitabu kinachouzwa sana "Uaminifu na Ukosefu wa Uaminifu". Yeye ni mwanzilishi wa dhehebu lenye makanisa zaidi ya elfu moja linaloitwa "The Lighthouse Chapel International". (Kanisa la Kimataifa la Lighthouse). Dag Heward-Mills, mwinjilisti wa kimataifa huhudumu katika Mkutano wa Injili wa Kimataifa na Yesu Mponyaji na mikutano duniani kote. kwa taarifa zaidi, tembelea www.daghewardmills.org.
Dag Heward-Mills
Bishop Dag Heward-Mills is a medical doctor by profession and the founder of the United Denominations Originating from the Lighthouse Group of Churches (UD-OLGC). The UD-OLGC comprises over three thousand churches pastored by seasoned ministers, groomed and trained in-house. Bishop Dag Heward-Mills oversees this charismatic group of denominations, which operates in over 90 different countries in Africa, Asia, Europe, the Caribbean, Australia, and North and South America. With a ministry spanning over thirty years, Dag Heward-Mills has authored several books with bestsellers including ‘The Art of Leadership’, ‘Loyalty and Disloyalty’, and ‘The Mega Church’. He is considered to be the largest publishing author in Africa, having had his books translated into over 52 languages with more than 40 million copies in print.
Related to Mti Na Huduma Yako
Related ebooks
Mwenye Kitu Atapewa, Naye Asiye Nacho, Hata Kile Alicho Nacho Tanyang'anywa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsEneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu Rating: 4 out of 5 stars4/5Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNguvu ya Damu Rating: 5 out of 5 stars5/5Inamaanisha Nini kuwa na Busara kama Nyoka Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMwongozi Wa Roho: Safari Maishani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVitengo vya Ujenzi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWengine... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi Ya Uongozi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari Rating: 3 out of 5 stars3/5Wale Wenye Kiburi Rating: 5 out of 5 stars5/5Stadi ya Usikivu [toleo la 2] Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMmoja Wenu Ni Shetani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wana ambao ni Hatari Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsLaikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHatari za Kiroho Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKanisa Kubwa Rating: 4 out of 5 stars4/5Wakristo:Mabalozi wa Ufalme wa Mungu Maagizo Kuhusu Kuishi kama Mkristo. Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsYisrael Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKuanzisha Kanisa Rating: 4 out of 5 stars4/5Wale Wanaojifanyisha Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWaitwao ni Wengi Rating: 4 out of 5 stars4/5Ni Jambo Zuri Sana Kumtumikia Bwana Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMaono Niliyoona Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi ya Huduma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKusamehe Kumerahisishwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUkuaji Wa Kanisa Rating: 5 out of 5 stars5/5Wale Wanaosahau Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJemedari Mwema Sayansi ya Uongozi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna ya Kuomba Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Reviews for Mti Na Huduma Yako
2 ratings0 reviews
Book preview
Mti Na Huduma Yako - Dag Heward-Mills
SURA YA 1
Mti wa Ujuzi wa Mema na Mabaya
BWANA Mungu akachipusha katika ardhi kila mti unaotamanika kwa macho na kufaa kwa kuliwa; na mti wa uzima katikati ya bustani, na MTI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA.
Mwanzo 2: 9
Wakristo wengi hawaelewi nafasi ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya katika maisha yetu. Mara nyingi tunafikiri kwamba ni mti wa kale uliokuwa katika enzi ya Adamu na Hawa. Tunaamini kuwa mti huu ulikuwa na matunda yenye sumu ambayo mtu akiyala angekufa.
Kwa bahati mbaya, Adamu na Hawa walikula matunda ya mti huo na wakafa. Tukisoma kisa hicho, tunafikiri,"lilikuwa jambo la kuhuzunisha kwa Adamu na Hawa kula tunda hilo lenye sumu na tunashukuru kwamba hatutawahi kujaribiwa kula matunda ya mti kama huo''.
Ole wetu, itatubidi tupambane na mti huo huo na matunda yake. Kile unachopaswa kufahamu ni kwamba mti wa ujuzi wa mema na mabaya bado upo hadi leo. Mti huo unatuletea majaribu yale yale kwetu kama ilivyofanya kwa Adamu na Hawa. Mti huo hujionyesha kama kitu kinachoweza kuchukua nafasi ya Mungu.
Ukishakula matunda ya mti huo, unajua lililo jema na baya. Utajua mambo yaliyo mema na mabaya. Unapokuwa umejihami na ujuzi huo (wa yaliyo mema na mabaya) kwa kweli huhitaji Mungu akwambie cha kufanya. Utaona kwamba unaweza kuishi maisha yako na kutekeleza huduma kwa kutumia ujuzi ulioupata.
Athari mbaya zinazoweza kutokana na ujuzi wa mema na mabaya haziwezi kuonekana wazi na mtu asiyetafakari jambo hilo kwa undani. Hakika, , sio ujuzi wa mabaya pekee, bali ni ujuzi wa mema na mabaya. Mti huo hufanya kitu kimoja kwako ambacho ni kibaya zaidi. Unakutenganisha na mwongozo wa Mungu na kukufanya ukose kumtegemea Mungu.
Unapoendelea kuwa na uzoefu katika maisha