Sheria 10 Za Ushawishi
()
About this ebook
Moja ya ujuzi mkubwa unaotakiwa kuwa nao ni nguvu ya ushawishi kwa sababu chochote unachokitaka katika Maisha yako kinapatikana kwa watu na njia rahisi ili upate unahitaji uwezo wa kuwashawishi ili wakupe.Mungu ameweka mambo mengi unayoyaomba kwa Watu jambo usilolijua endapo utaacha kujifunza kuweza kushawishi watu wakupe unachotaka au kutamani utakuwa mtu wa kulalamika kwanini kuna mambo Upati,kwanini kuna vitu hupati na wanaopata mna sifa sawa au umewazidi.
Nimeshuhudia kuna watu wanasema wana mikosi, kuna wengine wanasema hawana bahati na asilimia kubwa siyo kwamba hawajafanikiwa ila hawastahili kuwa na kiwango hiko cha mafanikio. Watu hawa endapo wakiwa tu na nguvu ya ushawishi wanaoweza kufanikiwa zaidi .
Ukweli ni kwamba USIPOJUA KUSHAWISHI WATU WAKUPE VITU BASI UWEZI PATA CHOCHOTE KUTOKA KWA WATU,
Baada ya miaka mingi ya kuwa mwandishi na mkufunzi niligundua sheria 10 za ushawishi ambazo zinaweza kutumiwa na mtu yoyote kupata chochote anachotamani kutoka kwa WATU
Inawezekana siyo kwamba hauna wateja, Ila hujui kushawishi wateja
Inawezekana siyo kwamba hakuna kazi, ila ujui kushawishi watu wakupe kazi
Inawezekana siyo kwamba hakuna kabisa watu w kukusaidia ila ujui namna gani ya kushawishi watu wakusaidie
Tatizo siyo mtaji, Tatizo unashindwa kushawishi watu wakupe mtaji.
Katika kitabu changu cha Hatua nimefundisha jinsi watu wanavyoweza kufanyika Muujiza Katika maisha yako, katika kitabu hiki nitakufundisha sheria 10 zitakazo ongeza ushawishi wako na kufanya watu wakupe chochote unachokitaka
Watu ndo mtaji wa kwanza ili uweze kupiga hatua katika maisha yako ili uweze kutoka hapo ulipo. Sijui kwa sasa una hali gani katika uchumi, katika afya,kwenye Maisha yako ya kila siku lakini kupitia kitabu hiki utaenda kupata chochote ulichokuwa unakitamani kutoka kwa watu kwa urahisi sana.
Unaposoma kitabu hiki utajifunza sheria nyingi zitakazo kufanya kuwa wa tofauti na nyuma kabisa na utakuwa imara Zaidi katika ushawishi
"Mungu akuongoze katika usomaji wa kitabu hiki"
Mwandishi/Mkufunzi&Mwamasishaji.
ERICK EBELHARD MBELEKA
Erick Mbeleka
On the surface, Erick Ebelhard Mbeleka is a published author and transformation speaker with over 4 years experience in the industry Since 2018. His interest of speaking and writing embark on when he finished up various program in secondary level such as “What is not taught at school, Life guidance and coaching all the programs was facilitated by ZEPT Foundation and Map for life organization with facilitation of Mr. Enock Walter. Currently Erick Mbeleka has three books named as “HATUA, SHERIA 10 ZA USHAWISHI, SHULE YA FEDHA”. All these books are self helping books with transformational knowledge and skills. His living purpose and goal is to ensure Multi-million individuals know their purpose and take delight extra ordinary world, he is so efficient at his Job compare to his age, he considers himself as “Master of transformation in young generation”. Erick Ebelhard Mbeleka cater to major companies as strategic and analytical manager, by profession he is graduate from University of Dar es salaam Tanzania and awarded Bachelor of Science in Quantity surveying in 2022. He developed a passionate interest in writing books,conducting public seminars, volunteering in public activities and events. Erick E Mbeleka has a lot of significant professional experience as author and speaker, he wants to use his untiring commitment and drive to bring more productivity in the society
Related to Sheria 10 Za Ushawishi
Related ebooks
Jinsi Ya Kupata Mme Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSayansi ya Kupata utajiri Rating: 5 out of 5 stars5/5Mbinu za Kupata Mume Mwema Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVile Unavyopaswa Kuwa: kujitambua na kuchukua hatua: Kujitambua, #1 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHawara Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJinsi Unavyoweza Kutimiza Huduma Yako Rating: 5 out of 5 stars5/5Itaje! Idai!! Ichukue!!! Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBwana Okoa Ndoa Yangu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNdoa ya Mfano Wa Kuigwa Rating: 4 out of 5 stars4/5Mwenye Kitu Atapewa, Naye Asiye Nacho, Hata Kile Alicho Nacho Tanyang'anywa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsEneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu Rating: 4 out of 5 stars4/5Ukuaji Wa Kanisa Rating: 5 out of 5 stars5/5Mti Na Huduma Yako Rating: 3 out of 5 stars3/5Wale Wana ambao ni Hatari Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWengine... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi Ya Uongozi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJinsi ya Kutangua Laana Rating: 5 out of 5 stars5/5Mpakwa Mafuta na Upako Wake Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna ya Kuomba Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsLaikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsAfisa Usalama Wa Taifa Ni Mtu Wa Aina Gani? Na Anafanya Nini? Rating: 4 out of 5 stars4/5Makosa Kumi Makuu Ambayo Wachungaji Wanafanya Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKwa Nini Wakristo Wasiotoa Zaka Huwa Maskini ... Na Jinsi Wanatoa Zaka Wanavyoweza Kuwa Matajiri Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUjasusi Ni Nini? Na Je Majasusi Wanafanya Kazi Gani Hasa? Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMafundisho ya Utajiri Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKupoteza, Kuteseka, Kujitoa Dhabihu Na Kufa Rating: 1 out of 5 stars1/5Ijue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHatua za Ukuaji wa Kiroho Rating: 4 out of 5 stars4/5Inamaanisha Nini kuwa na Busara kama Nyoka Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJivutie Upako Rating: 4 out of 5 stars4/5
Reviews for Sheria 10 Za Ushawishi
0 ratings0 reviews