Siri ya Dhabihu
()
About this ebook
Kila unapotoa sadaka yako iwe kwa yatima, wajane, kanisani au sadaka yoyote Yesu anakuwepo kusimamia mwenyewe binafsi bila kumtuma mtu kuhakikisha njinsi unavyotoa na kutumia sadaka yako kuyasoma na kufafanua maisha yako. Kumbuka kazi zingine alikuwa anawatuma wanafunzi wake kumwakilisha na mifano ipo mingi; alipotaka wakahubiri injili aliwatuma wawili wawili yeye akabaki mjini; alipotaka fedha ya kodi alimtuma Petro akavue samaki yeye alibaki mjini; walipofika mji wa Samaria aliwatuma kwenda mjini kununua chakula cha mchana yeye akabaki kisimani kuongea na mwanamke msamalia; walipomaliza kuhubiri aliwatanguliza wanafunzi wake kwenda ngámbo yeye akaenda mlimani kuomba.
Lakini wakati wa kutoa sadaka mambo yalibadilika; hakutuma mtu bali alikwenda kusimamia mwenyenye na kuangalia mmoja baada ya mwingine alivyokuwa akitoa sadaka. Hali hii inaonyesha siri kubwa ya kiroho ya sadaka yako katika ulimwengu wa roho. Kumbuka sadaka yako mbele za Mungu ni tendo takatifu na la rohoni kuliko watu wenavyofikiria. Sadaka sio tendo la kukamilisha mtiririko wa ibada bali ni tabia ya Mungu wetu na sisi watoto wake lazima tuishi maisha hayo.
Charles Nakembetwa Shamsulla
Charles Nakembetwa Shamsulla a author and preacher of Gospel of Jesus Christ. He is also the author of BWANA OKOA NDOA YANGU, YOU CAN EASILY KILL FEAR [CONQUERING FEAR FACTOR] and KUSHINDWA SASA BASI. He holds Masters Degree in Public Administration specializing in Human Resources Management.
Read more from Charles Nakembetwa Shamsulla
Maono Niliyoona Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBwana Okoa Ndoa Yangu Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Related to Siri ya Dhabihu
Related ebooks
Katika Eneo la Adui Kuokolewa na Silaha ya Siri: Swahili Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wanaojifanyisha Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKondoo Aliye Potea Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJinsi ya Kusali & Kuongea na Yahweh Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWengine... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKusamehe Kumerahisishwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHistoria & Maisha ya Yeshua Kristo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsImani Kwa Wale Walioitwa na Kuchaguliwa na Mungu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNini Maana ya Kuwa Mchunga Kondoo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsStadi ya Usikivu [toleo la 2] Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKurudi Nyuma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsLaikos: Watenda Kazi wa Kawaida na Huduma Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale ambao ni Wajinga Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMwongozi Wa Roho: Safari Maishani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHatari za Kiroho Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsYisrael Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNi Jambo Zuri Sana Kumtumikia Bwana Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVitengo vya Ujenzi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsAnagkazo (Nguvu ya kushurutisha!) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale wanaokushitaki Rating: 5 out of 5 stars5/5Mguso Mzuri Wa Upako Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBadilisha Huduma yako ya kiuchungaji Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wana ambao ni Hatari Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMmoja Wenu Ni Shetani Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMrembo, Mnyama na Mchungaji Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsGUNDUA UCHUKUZI WAKO Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMwana-Adam ni Nani Naye ni Nini Mungu Amkomboe: Chuo cha Kwanza, #1 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWaambie Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsRoho Mtakatifu Rating: 5 out of 5 stars5/5Sauti Ya Mungu Yenye Nguvu Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Reviews for Siri ya Dhabihu
0 ratings0 reviews
Book preview
Siri ya Dhabihu - Charles Nakembetwa Shamsulla
SIRI YA DHABIHU
Charles Nakembetwa Shamsulla
Haki zote zimehifadhiwa@Charles Nakembetwa Shamsulla
SIRI YA DHABIHU
ISBN: …. Kimetolewa 2020
na Charles Nakembetwa Shamsulla. Hakuna sehemu ya kitabu hiki inaweza kutolewa, kutunzwa au kunakiliwa kwa muundo au kwa namna yoyote, iwe kwa elektroniki, kimakanika, kufotokopi, ku-rekodi au vinginevyo pasipo ruhusa ya maandishi ya mwandishi isipokuwa kutoa sehemu kama rejea katika kufundisho. Kwa taarifa na kibali unaweza kuwaasiliana na mwandishi kwa simu na email ifuatayo: +255-714008191
Email:cshamsulla@gmail.com
UTANGULIZI
Yesu alikuwa ameketi karibu na sanduku la hazina. Akawa anatazama jinsi watu wengi walivyokuwa wakitoa fedha na kuzitia katika hazina ya hekalu. Matajiri wengi walitoa fedha nyingi. Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.
Hapo Yesu akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Kweli nawaambieni, mama huyu mjane maskini ametia katika sanduku la hazina kiasi kikubwa kuliko walichotia wengine wote. Maana wengine wote walitoa kutokana na ziada ya mali zao, lakini huyu mama, ingawa ni maskini, ametoa yote aliyokuwa nayo, ametoa kila kitu alichohitaji kwa kuishi.
(Marko 12:41-44).
Kila unapotoa sadaka yako iwe kwa yatima, wajane, kanisani au sadaka yoyote Yesu anakuwepo kusimamia mwenyewe binafsi bila kumtuma mtu kuhakikisha njinsi unavyotoa na kutumia sadaka yako kuyasoma na kufafanua maisha yako. Kumbuka kazi zingine alikuwa anawatuma wanafunzi wake kumwakilisha na mifano ipo mingi; alipotaka wakahubiri injili aliwatuma wawili wawili yeye akabaki mjini; alipotaka fedha ya kodi alimtuma Petro akavue samaki yeye alibaki mjini; walipofika mji wa Samaria aliwatuma kwenda mjini kununua chakula cha mchana yeye akabaki kisimani kuongea na mwanamke msamalia; walipomaliza kuhubiri aliwatanguliza wanafunzi wake kwenda ngámbo yeye akaenda mlimani kuomba.
Lakini wakati wa kutoa sadaka mambo yalibadilika; hakutuma mtu bali alikwenda kusimamia mwenyenye na kuangalia mmoja baada ya mwingine alivyokuwa akitoa sadaka. Hali hii inaonyesha siri kubwa ya kiroho ya sadaka yako katika ulimwengu wa roho. Kumbuka sadaka yako mbele za Mungu ni tendo takatifu na la rohoni kuliko watu wenavyofikiria. Sadaka sio tendo la kukamilisha mtiririko wa ibada bali ni tabia ya Mungu wetu na sisi watoto wake lazima tuishi maisha hayo.
Kutoa sadaka kuna tafsiri ya kiroho zaidi kuliko kuwa ni tendo la kawaida. Sadaka yako sio kitu cha kuchezea na kuchukulia kwa wepesi; kumbuka Anania na Safisa walipochezea sadaka ilibidi wauwawe kanisani. Wengine watasema haiwezi kujirudia tena na kwamba lilikuwa ni tukio la mara moja tu; hapana. Kila andiko lafaa kwa mafundisho na kutuonnya makosa yetu. Biblia inasema wengine wanatembea wakiwa wamekufa kiroho: Hii ndiyo sababu wengi miongoni mwenu ni wagonjwa na dhaifu na wengine wenu hata wamekufa. (1 Wakorintho 11).
Sadaka yako ni jicho la rohoni na mwanga angavu wa kiroho kumfanya Yesu kuyasoma maisha yako bila kufika nyumbani kwako; alijua kiwango cha mali na utajiri wanaomiliki na kuwatangazia wanafunzi wake kupitia sadaka waliyotoa madhabahuni; Petro alijua Anania na Safira waliuza nyumba kiasi gani mara tu alipoleta kiasi kilichobaki kanisani bila wao kusema.
Aliwaona waliotoa mabaki na wale