Kionjo cha Wivu
()
About this ebook
KIONJO CHA WIVU ni diwani ya mashairi ya pindu. Mifano ya mikondo mbalimbali imetolewa kwa lengo la kumchochea mtafiti na mbunifu kueleza mikondo mingine ambayo katika hali ya kawaida itamtegemea mtunzi wa mashairi.
Katika maisha ya watu kuna kupata na kukosa. Ukikosa, omba. Ukiomba, subiri.
Kila mtu ana kile alichonacho. Wivu ni mbaya. Tusiwe watu wenye wivu ili tuishi kwa amani.
James Kemoli Amata ni mwalimu mstaafu wa shule ya sekondari. Alifunza na kuwatayarisha watahiniwa wa (Christian Religious Education na) Kiswahili kwa miaka mingi. Kwa mujibu wa taaluma yake, ametunga vitabu kadha vya mashairi kikiwemo UANDISHI WA INSHA NA TUNGO NZURI, TAALUMA YA USHAIRI (akishirikiana na Kitula King’ei,), MASHAIRI RAHISI, KIONJO CHA UCHOKOZI, KIONJO CHA UNAFIKI, ....
James Kemoli Amata
I am a retired secondary school teacher of Kiswahili (and Christian Religious Education) and an excited preventive healthcare marketer with Green World Health Products Company.I am a 1976 University of Nairobi Bachelor of Education [Arts (Hons)] graduate and a freelance content writer with a passion for writing and indeed I am a farmer-like author with many titles.I published my first book in 1985, by traditional publishing. I have tried self-publishing and now I am in great heat to explore E-publishing.However, I will never forget my Taaluma ya Ushairi (with Kitula King’ei) from which the publisher ate fat alone, and happens to be an E-book without my knowledge.As I do my business, I worship God in African Kenya Sabcrynnsk of Soi (Prayer and Healing) Church.
Read more from James Kemoli Amata
Simple Swahili for Beginners Series Book 1 Maamukizi (Salamu) - Salutations (Greetings) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsDunia Ina Mema Mengi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsFasihi Simulizi: Kwa Shule Za Sekondari Rating: 3 out of 5 stars3/5Kionjo cha Unafiki Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSiri Kali Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsTuchambue Tamthilia: MSTAHIKI MEYA ya Timothy M. Arege Rating: 5 out of 5 stars5/5Maneno na Aina za Maneno Rating: 5 out of 5 stars5/5Kijana Aliyetaka Afe Vizuri Na Hadithi Zingine Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUandishi wa Insha na Tungo Nzuri Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKionjo cha Uchokozi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKiswahili Kibovu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSikitiko Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Related to Kionjo cha Wivu
Related ebooks
Kionjo cha Uchokozi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKijana Aliyetaka Afe Vizuri Na Hadithi Zingine Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wanaokuacha Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMashairi Rahisi:Mazoezi Na Majibu Kielelezo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMfalme - Nilipumzika: Mashairi Ya Kisasa - Modern Swahili Poetry Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSikitiko Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKuchukua Nyuma ya Familia: Matumaini kwa Moyo wa Mwanamke, Msaada kwa Ndoa ya Mwanamke, Maelewano kwa Nyumba ya Mwanamke Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNyuma Ya Pazia Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsAnagkazo (Nguvu ya kushurutisha!) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHawara Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKurejea kwa Malkia Nkamba wa Nyakayenze Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsInamaanisha Nini kuwa na Busara kama Nyoka Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMungu Nisaidie Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUanzishaji Wa Imani: Taasisi ya mafunzo ya Isaya 58 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVachayeri va mbhongholo Rating: 5 out of 5 stars5/5Kwa Nini Wakristo Wasiotoa Zaka Huwa Maskini ... Na Jinsi Wanatoa Zaka Wanavyoweza Kuwa Matajiri Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMapepo Na Namna ya Kuya shug hulikia Rating: 1 out of 5 stars1/5Waitwao ni Wengi Rating: 4 out of 5 stars4/5Kutolewa Kutoka kwa Nguvu za Giza HII NDIYO HADITHI YA KWELI YA MWAFRIKA - EX WITCH ALIYETOLEWA: KWA UWEZO MKUBWA WA MUNGU. Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMakosa kumi makuu ambayo wachungaji wanafanya Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMmeza Fupa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKusamehe Kumerahisishwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMapepo Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNjama Rating: 5 out of 5 stars5/5The Glorious Arrest of a Family - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 8 of 12, Stage 1 of 3 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBiblia Inasema Usiogope Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHatima ya Vibwengo 2: Moyo wa Jabali Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsCheka, Simulia, Lakini Usiombe Yakukute Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKushindwa Sasa Basi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMAISHA ya MJUSI na BUIBUI Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Reviews for Kionjo cha Wivu
0 ratings0 reviews
Book preview
Kionjo cha Wivu - James Kemoli Amata
Kionjo cha Wivu
Mashairi ya Pindu
Hakimiliki © James Kemoli Amata, Alhamisi, 10 Septemba 2015
Watu wengi wameiba kazi zangu.
Usiwaige.
Kwa mujibu wa maadili, wajibu na sheria, haki zote ni za mwandishi.
Kimetangazwa katika Smashwords.com
Na James Kemoli Amata, on Jumanne, Novemba 17, 2015
Toleo La Smashwords, Maelezo Ya Idhini
Hiki kitabu cha elektoniki kimeidhinishwa kwa minajili ya raha yako ya kibinafsi peke. Hiki kitabu kisiuzwe tena wala kisipewe watu wengine. Iwapo ungependa kukitumia hiki kitabu na mtu mwingine, tafadhali nunua nakala ya ziada kwa kila mpokezi. Iwapo unakisoma hiki kitabu na hukukinunua, au hakikununuliwa kwa minajili ya matumizi yako peke yako, basi tafadhali kirudishe kwa Smashwords.com na ununue nakala yako. Asante kwa kuiheshimu kazi ngumu ya mwandishi huyu.
Smashwords edition, license notes
This ebook is licensed for your personal enjoyment only. This ebook may not be re-sold or given away to other people. If you would like to share this book with another person, please purchase an additional copy for each recipient. If you’re reading this book and did not purchase it, or it was not purchased for your use only, then please return to smashwords.com and purchase your own copy. Thank you for respecting the hard work of this author.
Nukuu
Mimi nimeiumba dunia hii,
Wanadamu na wanyama walio juu ya uso wa nchi,
Kwa uweza wangu mkuu, na kwa mkono wangu ulionyoshwa; ninawapa watu kama inipendezavyo. – Yeremia 27:5
Wakfu kwa
Marehemu Mike Enock, mwimbaji mashuhuri wa Dar es Salaam Jazz Band (Majini ya Bahari), aliniimbia nyimbo, na ninakumbuka (maneno tu):-
Kwanza:
Fitina ni za nini oo?
Wanangoma wenzangu,
Kila nikiwasili,
Wote wana nia mbaya,
Heri niwe peke yangu,
Kuliko kuwa na wabaya.
Pili:
Wengine hunifuatafuata oo,
Na wengine hijifanya wapenzi oo,
Kumbe ni maadui sana.
Uadui mfanye,
Na mambo yote myamalize,
Kama Mola hapendi ni kazi bure,
Mtasema mtachoka.
Shukurani
Mungu wangu ambaye amenipa uhai na uwezo,
Ninamshukuru sana.
Namshukuru sana Jeniffer Chepkirui,
Daima amenifaa,
Mungu Ambariki sana.
Humphrey Kamadi amenifaa sana,
Mungu amjazi belele.
***
Kionjo cha Wivu
Na James Kemoli Amata
***
Utangulizi
Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu,
Israeli na aseme sasa,
Mara nyingi wamenitesa tangu,
Lakini hawakuniweza.
Wakulima wamelima mgongoni mwangu,
Wamefanya mirefu mifuo yao.
BWANA ndiye mwenye haki,
Amezikata kamba zao wasio haki.
Na waaibishwe, warudishwe nyuma,
Wote wanaoichukia Sayuni. – Zaburi 129:2-5
Hakika Mungu ni mwema kwa Israel,
Kwa hao walio safi mioyo yao.
Name miguu yangu ilikuwa karibu na kupotoka,
Hatua zangu zilikuwa karibu na kuteleza.
Maana naliwaonea wivu wenye kujivuna,
Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki. – Zaburi 73:1-3
Sura ya 1
1. Mungu