Sio Kile Nilichotarajia
()
About this ebook
Kama tukiwa wakweli kabisa, tutakiri kwamba mara zote maisha hayajawa vile tulivyo tarajia. Kama vijana tulitarajia maisha yenye mambo makubwa na Mapenzi motomoto muda wote. Imebaka kama simulizi kwamba hayo ndo yaliyopaswa kuwa maisha yetu, uhalisia umebadili kila mpango.
Taifa la Israeli pi walikuwa na mawazo yao jinsi uhuru utakavyokuwa kotoka kwenye kifungo cha Misri na shauku kubwa juu ya kile Mungu atakachowafanyia. Kutoka 16:3 ina mambo mengi ya kutuambia kuhusu matarijio ya Waisraeli no Imani juu ya Mungu.
F. Wayne Mac Leod
F. Wayne Mac Leod was born in Sydney Mines, Nova Scotia, Canada and received his education at Ontario Bible College, University of Waterloo and Ontario Theological Seminary. He was ordained at Hespeler Baptist Church, Cambridge, Ontario in 1991. He and his wife, Diane served as missionaries with the Africa Evangelical Fellowship (now merged with SIM) on the islands of Mauritius and Reunion in the Indian Ocean from 1985-1993 where he was involved in church development and leadership training. He is presently involved in a writing ministry and is a member of Action International Ministries.
Related to Sio Kile Nilichotarajia
Related ebooks
Nchi ya Kanaani, Itiririkayo Maziwa na Asali(Swahili Edition) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKutolewa Kutoka kwa Nguvu za Giza HII NDIYO HADITHI YA KWELI YA MWAFRIKA - EX WITCH ALIYETOLEWA: KWA UWEZO MKUBWA WA MUNGU. Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMapepo Na Namna ya Kuya shug hulikia Rating: 1 out of 5 stars1/5The Glorious Arrest of a Family - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 8 of 12, Stage 1 of 3 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWakristo:Mabalozi wa Ufalme wa Mungu Maagizo Kuhusu Kuishi kama Mkristo. Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsMapepo Na Jinsi Ya Kukabiliana Nayo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSauti Ya Mungu Yenye Nguvu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsHere comes A Day of Darkness - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 9 of 12, Stage 1 of 3 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsVitengo vya Ujenzi Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsSiri ya Kifo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsIjue, Dhiki Kuu na Unyakuo wa Watakatifu Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsNamna Unavyoweza Kuwa Mkristo Aliyehodari Rating: 3 out of 5 stars3/5Mahubiri juu ya Mwanzo (III) - Hakuna Machafuko zaidi, Utupu au Giza Sasa (I) Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsWale Wanaojifanyisha Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsThe Present Global Crises - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 10 of 12, Stage 1 of 3 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUkweli Muhimu Kwa Ajili Ya Waumini Wapya Rating: 3 out of 5 stars3/5Wajue Maadui Zako Wasioonekana... Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKitabu cha Sherehe Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsJinsi ya Kutangua Laana Rating: 5 out of 5 stars5/5Wale Wanaosahau Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKondoo Aliye Potea Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsImani Ya Mtu Wingine Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsBinti Unaweza Kufanikiwa Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsKitabu Cha Mistari Ya Bibilia Ya Kukari Rating: 3 out of 5 stars3/5Kupoteza, Kuteseka, Kujitoa Dhabihu Na Kufa Rating: 1 out of 5 stars1/5Ujio wa Pili wa Yesu Kristo Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsEneza Huduma Yako Kwa Miujiza na Udhihirishaji wa Roho Mtakatifu Rating: 4 out of 5 stars4/5Namna Unavyoweza Kuwa na Muda wa Faragha Mzuri na Mungu Kila Siku Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsThe Coming WORLD RELIGION and the MYSTERY BABYLON - SWAHILI EDITION: School of the Holy Spirit Series 11 of 12, Stage 1 of 3 Rating: 0 out of 5 stars0 ratingsUanzishaji Wa Imani: Taasisi ya mafunzo ya Isaya 58 Rating: 0 out of 5 stars0 ratings
Reviews for Sio Kile Nilichotarajia
0 ratings0 reviews
Book preview
Sio Kile Nilichotarajia - F. Wayne Mac Leod
Sio Kile Nilichotarajia
Wakati Maisha Yasipobadilika Kama Ulivyotarajia Mafunzo Kutoka Kitabu Cha Kutoka 16:3
F. Wayne Mac Leod
Light To My Path Book Distribution, Sydney Mines, Nova Scotia, CANADA
SIO KILE NILICHOTARAJIA
Haki ya kunakiri ©2017 na F. Wayne Mac Leod
Haki zote zimehifadhiwa. Hakuna sehemu ya Kitabu hiki aweza kuzalishwa au kusambazwa kwa namna yoyote ile bila idhini ya mwandishi.
Biblia takatifu, Toleo la English Standard Version {ESV}
Toleo la ©2001 na Crossway, Wachapishaji wa Huduma ya uchapishaji wa Habari njema
Haki zote zimehifadhiwa. Toleo la ESV,2007
Shukrani maalum ziwaendee Diane Mac Leod kwa kuhariri kitabu hiki.
Yaliyomo
Utangulizi
Sura ya 1 - Mazingira Ambamo Jambo Lilitokea
Sura ya 2 - Maisha Sio Rahisi
Sura ya 3 - Mwili Usioridhika
Sura ya 4 - Makali Ya Uponyaji
Sura ya 5 - Watu Katika Maisha Yangu
Sura ya 6 - Imani Kwenye Malengo Ya Mungu
Sura ya 7 - Hitimisho No Matumizi
Utangulizi
Kama sisi wenyewe tumekuwa waaminifu, maisha daima hayakuweza kubadilika kama tulivyotarajia. Kama vijana tuliyafikiria maisha kwa tamaa na mahaba makubwa. Simulizi la kawaida ambalo lingekuwa maisha yetu, Hata hivyo, hii iligubikwa na hali halisi. Maisha yana njia zinazotuleta sisi kwa kutushtukiza na kubadilisha mwelekeo juu yetu.
Taifa la israel pia lilikuwa na wazo la namna ambavyo uhuru wao ungekuwa kutokana na kifungo chao cha utumwa kutoka nchi ya Misri. Walikuwa na mawazo yao kuhusiana na Mungu atafanya nini juu yao. Badala yake waliishia katika uovu na kutangatanga bila ya kujua mlo wao unaofuata ungetoka wapi. Walikabiliana na yasiyotabirika, matatizo na kukatishwa tamaa. Haya mambo si yale waliyokuwa wameyategemea. Hili lilikuwa si lengo lao la uhuru.
Kutoka 16:3 ni mstari rahisi ambao unayo mengi ya kutuambia kuhusiana na tabia ya Wana wa Israel kwa Mungu na msimamo wao. Nje ya hili, hata hivyo, Kuna fundisho la nguvu sana kwetu kwa kadri tunavyokabiliana na kukatishwa tama katika safari ya maisha. Mstari huu unatupatia sisi changamoto kumuamini Mungu ambaye hutuongoza sisi hatua kwa hatua kupitia mabonde haya.
Nimekuwa nikibarikiwa kwa kadri nilivyoongozwa na Bwana kuandika kuhusiana na mstari huu. Ninamshukuru sana Bwana kwa kuniongoza kwenye aya hii ya maandiko na kunipa macho ya kuuona ukweli wakati nikitapatapa kama kipofu kwenye mradi huu. Amini kuwa mstari huu utakufungua na wewe kwa njia ambayo itakubariki na kukutia moyo katika nyakati ambazo maisha yako yamekuwa hayageuki kwa namna usiyotegemea.
Mungu Akubariki,
F. Wayne Mac Leod
Sura ya 1 - Mazingira Ambamo Jambo Lilitokea
V:2 Na mkutano mzima wa wana wa Israel ukawanung’unikia Musa na Haruni katika uovu wao, V:3 Wana wa Israel wakamwambia, laiti tungelikufa kwa mkono wa BWANA ka tika nchi ya Misri, hapo tulipoketi karibu na zile sufuria za nyama, tulipokula vyakula hata kushiba kwani mmetutoa huko na kututia katika bara hii, ili kutuua kwa njaa kusanyiko hili lote {Kutoka 16}
Kwa ajili ya kujifunza, ningekutaka uweze kuangalia katika mistari hii miwili ya maandiko. Na hasa, Uweze kuangalia tabia za wana wa Israel kumwelekea Mungu na vipaumbele vyao katika maisha, Kwa kuwa mkweli, Wakati Mungu aliponiongoza kwenye aya hii sikuwa nimejua ni nini ambacho Mungu alitaka