Discover millions of ebooks, audiobooks, and so much more with a free trial

Only $11.99/month after trial. Cancel anytime.

Ramani ya Fasihi: Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi
Ramani ya Fasihi: Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi
Ramani ya Fasihi: Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi
Ebook132 pages1 hour

Ramani ya Fasihi: Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi

Rating: 0 out of 5 stars

()

Read preview

About this ebook

Ramani ya Fasihi ni kitabu ambacho kimeshughulikia mambo yote kuhusu fasihi simulizi na fasihi andishi. Kimepambanua vipera vya fasihi simulizi na fasihi andishi kwa mapana na marefu.

LanguageKiswahili
PublisherKelvin Munene
Release dateOct 17, 2022
ISBN9798215519066
Ramani ya Fasihi: Fasihi Simulizi na Fasihi Andishi

Related to Ramani ya Fasihi

Related ebooks

Related categories

Reviews for Ramani ya Fasihi

Rating: 0 out of 5 stars
0 ratings

0 ratings0 reviews

What did you think?

Tap to rate

Review must be at least 10 words

    Book preview

    Ramani ya Fasihi - Kelvin Munene

    Copyright

    Ramani Ya Fasihi: Fasihi Andishi, Fasihi Simulizi na Ushairi

    Published by Kelvin Munene

    Email: kelvincreative3@gmail.com

    Copyright © 2022 Kelvin Munene

    All rights reserved. No part of this book may be published in any manner whatsoever, or stored in any information storage system, without the prior written consent of the author, except in the case of brief quotations with proper reference, embodied in critical articles and reviews. 

    Interior designs by Kelvin Munene: Copyright © 2022

    Tabaruku

    Kwa wasomi wote wa Kiswahili na fasihi kwa jumla.

    Yaliyomo

    Copyright

    Tabaruku

    Yaliyomo

    FASIHI

    Maana ya fasihi

    Sifa za fasihi

    Tanzu za fasihi

    Umuhimu wa fasihi

    Vipera vya tanzu za fasihi simulizi

    1. Hadithi

    2. Mazungumzo

    3. Semi

    4. Maigizo

    5. Ngomezi

    6. Nudhuma / ushairi

    Vipera vya fasihi andishi

    a. Riwaya

    b. Tamthilia

    c. Hadithi fupi

    A. Fasihi simulizi

    Maana ya fasihi simulizi

    Sifa za fasihi simulizi

    Umuhimu wa fasihi simulizi

    Changamoto za fasihi simulizi

    Zoezi la ziada

    A. SEMI

    i. METHALI

    Dhima za methali katika jamii

    Sifa bainifu za methali

    Sifa za kisanaa katika methali

    Zoezi la ziada

    ii. MISEMO

    Aina za misemo

    Sifa za misemo

    Dhima /umuhimu / kazi ya misemo katika jamii

    Zoezi la ziada

    iii. MAFUMBO

    Sifa za mafumbo

    Dhima/ majukumu/ umuhimu wa mafumbo katika jamii

    Zoezi la ziada

    iv. LAKABU

    Sifa za lakabu

    Umuhimu wa lakabu

    Zoezi la ziada

    v. MISIMU / SIMO

    Sifa za misimu

    Umuhimu/ matumizi ya misimu

    Zoezi la ziada

    vi. VITENDAWILI

    Makundi /aina ya vitendawili

    Umuhimu wa vitendawili

    Zoezi la ziada

    vii. NAHAU

    Zoezi la ziada

    viii. VITANZANDIMI

    Umuhimu wa vitanzandimi

    Zoezi la ziada

    ix. CHEMSHA BONGO

    Umuhimu wa chemsha bongo

    Zoezi la ziada

    x. TANAKALI ZA SAUTI

    Sifa za tanakali za sauti

    Miundo ya tanakali za sauti

    Zoezi la ziada

    j) HADITHI

    Fomula ya utangulizi wa hadithi

    i. NGANO

    Sifa za ngano

    Umuhimu/kazi/dhima/majukumu/matumizi ya mianzo katika ngano

    Umuhimu wa miishio katika ngano

    Umuhimu wa ngano

    Sifa za fanani / mtambaji bora

    Aina za ngano

    Zoezi la ziada

    ii. MIVIGA

    Aina za miviga

    Majukumu/ umuhimu wa miviga katika jamii

    Hasara za miviga

    Zoezi la ziada

    iii. MIGHANI/ MIGANI/ VISAKALE

    Sifa za mighani

    Umuhimu wa mighani

    Zoezi la ziada

    iv. VISASILI

    Umuhimu wa visasili

    Zoezi la ziada

    v. NGANO ZA WANYAMA (KHURAFA / HURAFA)

    Zoezi la ziada

    vi. HEKAYA (NGANO ZA AYARI)

    Sifa za hekaya

    Umuhimu wa hekaya

    Zoezi la ziada

    vii. NGANO ZA MAZIMWI (MAJITU)

    Zoezi la ziada

    viii. HADITHI ZA MITANZIKO

    Zoezi la ziada

    e) MAZUNGUMZO

    i. ULUMBI

    Sifa za ulumbi

    Dhima za ulumbi

    Sifa za mlumbi mwema

    ii. SOGA / POROJO

    Sifa za soga

    Dhima / majukumu ya soga

    iii. MALUMBANO YA UTANI

    Sifa za malumbano ya utani

    Dhima/umuhimu/majukumu ya malumbano ya utani

    Mifano ya malumbano ya utani

    iv. MAWAIDHA

    Sifa za mawaidha

    Umuhimu wa mawaidha

    Muundo wa mawaidha

    Zoezi la ziada

    f) MAIGIZO

    Dhima/ majukumu ya maigizo

    Vipengele vinavyotambulisha maigizo

    Sifa za mwigizaji bora

    Mifano ya maigizo

    Sifa za maigizo

    Tanzu za maigizo

    Zoezi la ziada

    e) NGOMEZI

    Sifa za ngomezi

    Majukumu / dhima/ umuhimu wa ngomezi

    Udhaifu wa ngomezi

    Zoezi la ziada

    f) NUDHUMA /USHAIRI

    i. NYIMBO

    Umuhimu wa nyimbo

    Sifa za nyimbo

    Aina za nyimbo

    Zoezi la ziada

    ii. MAGHANI

    Aina za maghani

    Maghani ya kawaida

    Maghani simulizi

    Majukumu ya maghani

    Zoezi la ziada

    iii. USHAIRI SIMULIZI

    Sifa za ushairi simulizi

    Aina za tungo za ushairi simulizi

    Malengo ya ushairi simulizi

    Zoezi la ziada

    Utafiti katika fasihi simulizi

    Awamu tatu zinazopitiwa wakati wa kukusanya data wakati wa utafiti

    Njia za kukusanya data inayotarajiwa kutumiwa katika utafiti

    Umuhimu / sababu za kukusanya data kuhusiana na fasihi simulizi

    Njia za kuhifadhi data iliyokusanywa

    Matatizo yanayokabili ukusanyaji wa data ya fasihi simulizi

    Namna ya kuboresha ukusanyaji wa data katika fasihi simulizi

    Umuhimu wa kufanya utafiti katika fasihi simulizi

    Njia zinazotumiwa kuwasilisha data

    Uchanganuzi (njia za kuchanganua data ili kuwasilisha maana au matokeo)

    Manufaa ya utafiti katika fasihi simulizi

    Njia za kisasa ambazo huendeleza fasihi simulizi

    Linganisha fasihi simulizi na fasihi andishi

    Tofauti baina ya fasihi simulizi na fasihi andishi

    Maswali ya ziada

    FASIHI ANDISHI

    i. MASHAIRI / USHAIRI

    Ushairi andishi

    Maana ya ushairi

    Mambo ya kuangazia kabla ya utunzi wa mashairi

    Istilahi/misamiati/vipengele vinavyotambulisha mashairi

    Nyanja / aina za maswali ya ushairi

    Idhini /uhuru wa mtunzi wa mashairi

    Mbinu/ namna / njia za kubananga au kuboronga lugha

    Bahari za mashairi (aina)

    Aina ya maswali ya ushairi

    MASHAIRI HURU

    Sifa za mashairi huru

    Sababu za kuchipuka kwa ushairi huru

    Zoezi la ziada

    ii. RIWAYA

    Sifa za riwaya

    iii. TAMTHILIA

    Sifa za tamthilia

    Uchambuzi wa kazi ya fasihi

    1) Ploti ya tamthilia

    2) Migogoro

    3) Aina za wahusika

    a) Wahusika kutegemea mchango na nafasi zao

    b) Aina za wahusika kwa msingi wa kubadilika au kutobadilika kwa mienendo, tabia na misimamo yao.

    b) Wahusika kulingana na maadili

    4) Dhamira

    5) Maudhui

    6) Tasnifu

    iv. HADITHI FUPI

    Sifa za hadithi fupi

    Zoezi la ziada

    TAMATHALI ZA USEMI

    MBINU ZA KIMTINDO AU MBINU ZA KISANII

    MBINU ZA LUGHA

    MBINU ZA SANAA

    FASIHI

    Maana ya fasihi

    Fasihi ni somo linalofungamana na tungo za kisanaa kama riwaya, tenzi, mashairi, tamthilia, tenzi, vitendawili, hadithi na ngano.

    Fasihi imegawanyika katika aina mbili kuu: fasihi andishi na fasihi simulizi. Fasihi andishi ni aina ya fasihi inayowasilishwa kwa njia ya maandishi. Fasihi simulizi ni fasihi ambayo huwasilishwa kwa njia ya masimulizi au mdomo. Fasihi andishi huwa na vitanzu kama vile riwaya, tamthilia na hadithi fupi ilhali fasihi simulizi huwa na vitanzu kama vile mazungumzo, hadithi,semi, maigizo,ngomezi na nudhuma. Hata hivyo, hadithi hupatikana katika fasihi

    Enjoying the preview?
    Page 1 of 1