Discover millions of ebooks, audiobooks, and so much more with a free trial

Only $11.99/month after trial. Cancel anytime.

Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake
Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake
Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake
Ebook18 pages13 minutes

Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake

Rating: 0 out of 5 stars

()

Read preview

About this ebook

Wataalam wa lugha hii wamekua wakitushauri kwamba lugha haijitoshelezi kwa maneno .Yaani haina maneno yake maalum.Lugha hii ilisanya maneno kutoka lugha mbali mbali ndipo ikaweza kutambulika.Sasa,mbona Waswahili wasijitungie lugha wenyewe ili ipate kujitoseleza.Ndio yaliyomo kwenye kitabu hiki.

LanguageKiswahili
PublisherJohn Ambuli
Release dateSep 9, 2014
ISBN9781311687715
Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake
Author

John Ambuli

I am a writer from kenya.I write in English and kiswahili and do translating services for both languages.

Related to Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake

Related ebooks

Related categories

Reviews for Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake

Rating: 0 out of 5 stars
0 ratings

0 ratings0 reviews

What did you think?

Tap to rate

Review must be at least 10 words

    Book preview

    Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno Yenye Asili Ya Kibantu Peke Yake - John Ambuli

    Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Maneno yenya Asili Ya Kibantu Peke Yake

    Na John Ambuli

    Smashwords Edition

    All rights Remain with the Author

    Yaliyomo

    1. Asili Ya Lugha Ya Kiswahili

    2. Kukua Kwa Lugha Ya Kiswahili

    3. Lugha Ya Kiswahili Iwe Na Asili ya Kiafrika Ili Ijitosheleze

    4. Waswahili Watakua Na Mitindo Yao Ya Maisha Na Ya Kufanya Mambo Yote

    5. Kuwatumia Wabantu Vijijini Ili Kuipa Lugha

    Asili Inayo Hitajika

    Asili Ya Lugha Ya Kiswahili

    Kulingana na historia ya lugha ya Kiswahili na kukua kwake, Lugha hii haikuweko huko ulimwengu ulikoanzia, lugha ya Kiswahili ilibuniwa tu baada ya waarabu walio kuja kwenya pwani ya Afrika ya mashariki kukutana na Waafrika wenyeji pale kwenye ufuo wa bahari.

    Sio waarabu peke yao walio tembelea pwani ya Afrika ya mashariki wakati huo, kulikuweko na wazungu pamoja na wahindi, ijapokua walifika huko wakati tofauti.

    Lugha ya Kiswahili, kulingana na historia ya lugha hii, ilifumbuliwa tu baada ya waafrika wenye kutumia lugha za kibantu kukutana na waarabu halafu kuka tokea yale matatizo

    Enjoying the preview?
    Page 1 of 1